Saturday, April 21, 2018

KWANINI MTU HUWA NI VIGUMU KUFIKIA MALENGO?!

Badae Nitakuja Kuwa..(Mtu Wa Hadhi Fulani) Nifurahie Maisha. Huo Msemo ni wa Ki Malengo: Huo ni Wangu,Nina Malengo Lakini ngoja Niseme Jambo Wakati Mwingi Watu Hushindwa Kufikia Malengo Unajua ni kwanini? # Leo Nitasema Machache. Kwanza KUJISAHAU: Yan Mtu Baada ya Kupanga Mipango,Akau Ridhia Vema Kweny Akil yake Na Kusema Na Iwe. Akisha Fanya Hivyo Huingia Kweny Mchakato Wa Kusaka,(kutenda) Lakn Huko Kweny Mchakato Ndiko Anakutana Na Mambo Mengi Yanamzonga Hata Kusahau Malengo Yake,Kwann anasahau Moto Unashuka,Kule Kujitahd Kunashuka Hata Jambo jingne likijichomeka Yeye Kawaida tu Kulishughulikia,Na C Kusimama Tena Ktk Kusudi (ikatai kunadharura zngne muhm zaid zinaeza jichomeka wakat uko kweny Malengo yako,Nisawa,Lakn Sio Mamb mengne Yacyo Muhm kama Malengo yako) Weng wanasahau purukushan za hapa na pale ni zipotu,JibaneIla Wekeza ktk Malengo, Fanya Malengo Kua Zaidi na c Ziada, Wengi Moto Unaisha Kama Hamna Ulazima Unaomskuma Kweny Malengo Ndio Kabisaa Anapoa. Inauma Maana Hyo Ni Dalili Ya Kutofikia Malengo.Malengo ni sehmu Muhmu Ya Mafanikio.Mwanadam Mweny Utimamu wa Akili Ni Lazima Awe/Afanye Maboresho ya Maendeleo Kwa Maisha yake ya Baadae(Improvements Of Development Future) Maana huko ndiko aelekeapo, (Naona weng hupambana kutafta hyo ya Baadae). Wengne Hadi Wanamsahau Mungu Kwa Ubize wa Maisha Mazur Ya Baadae,Sasa Maisha mazuri Yanakua Vipi Kama Hamna Mungu na Mungu Ndio Amani! Eti wengne Utaskia Sasa maisha yenyewe ndio haya kuliko nimkosee Mungu ngoktu mambo yakiwa mazur ntaenda Kanisani,Ila kwa sasahv ntakua namtania Mungu(sababu Kazi anayofanya Ni Haram saa hyo ,,Hemb fikiri,kwahyo Yeye atumie njia zake mbovu kutafta malengo na akisha fanikiwa aje Amkaribishe Sasa Mungu Kustarehe Sio?,Yani unampangia Mungu Wakat wa kukutawala,Au Unamsaidia Mungu Kukutunza Sio!,Hee! Haya. Bwana Yesu Anasemaje ktk hlo: Matayo:6.31 Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini? Mst.33 Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa. Kumbe Hakuna Haja Ya Kutafuta Mali kama Hujamtafuta Mungu Kwanza Maana Mali na Mambo Mazuri ni Zawadi kutoka Kwake,Ye Anakwambia Nitafute Kwanza Mimi,Ufalme/ Utawala Wangu Ukutawale Ndio Utapata Hayo Utakayo,Yeye Ni Mwenye Rehema Na Baraka Anakwambia. Hapo ktk Matayo:6.30 Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni , yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba?(Yani Waoga wanaoogopa Maisha Ya Taabu) Bac Mcheni Mungu,Ni Sehemu Ya Kufikia Malengo . ..Nimalize Na Haya juu Ya Malengo Yako.Usiseme. Naongea Mengi/Eti Tabu Zima, Nimemuongeza Mungu Ni sehem Ya Mada. ..Hitimisho: *Jitahidi Kukumbkakumbka Malengo Yako. Hasa Kumbka Umuhm wake **Ya Ombee Kwa Mungu Kuonyesha Uko Serius. ***Epuka Kukata Tamaa, Hakuna Mafanikio Rahisi, Na Juhudi Izidi Kwako Biblia Inasema Mkono wenye Bidii Ndio Utakao Fanikiwa(Mithali) ..Ahsante Na Mungu Akubariki Ktk Malengo Yako. ..Kumbuka Kuruhusu Ufalme wa Mungu Kwan ni jambo la Kwanza (Ndio Msingi wa Ujenzi wa Hayo yote) .Usiangalie Hali Uliyopo,Mungu Atatengeneza. Mungu wa Mbinguni Mwenyewe Ndio Muwezeshaji,MWANINI,AMEN. ***Siku Njema Mpendwa Wa Mungu Ktk KRISTO.

JE,UNAMJUA VIPI YESU,KUA NI NANI!! UMESKIA NINI CHA KUKU CHANGANYA KUHUSU YEYE KTK IMANI?!

Watu wengi wa dini tofauti wamekuwa wakibishana kuhusu dini na hata kuhusu YESU KRISTO NI NANI ? Hoja je ? YESU NI MUNGU ? YESU NI MWANA WA MUNGU? Je MUNGU Kwani Anazaa ? MAJIBU YESU NI NANI ? Tuangalie kwanza andiko la Luka 1:30-35 Malaika amtokea Mariam akamuambia usiogope Mariamu kwa maana umepata Neema kwa MUNGU,tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto Mwanamume,na jina lake utamwita YESU huyo atakuwa mkuu ataitwa # Mwana wa alie Juu ,na Bwana MUNGU atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake,ataimiliki nyumba ya Yakobo na ufalme wake utakuwa hauna mwisho Mariamu akamuambia Malaika litakuwaje neno hilo maana sijui mume Malaika akamjibu akamuambia ,Roho Mtakatifu atakujulia juu yako na nguvu zake alie juu zitakufunika kama kivuli kwasababu hio Hicho kilicho zaliwa kitaitwa kitakatifu,#Mwana wa mungu
* JE MUNGU Anazaa kwanini yesu ni mwana ? MAJIBU Andiko la Yohana 3:6 kilicho zaliwa kimwili ni mwili na kilicho zaliwa kiroho ni Roho . Yesu amezaliwa kiroho.

* JE KUMUITA YESU NI MUNGU NI KOSA ? MAJIBU Waraka wa kwanza wa yohana 5:8 maana wapo watatu washuhudiao mbingu BABA(Yehova Mungu) NENO (Yesu kristo mwana wa Mungu baba,,Yoh 1:1-5) na ROHO Mtakatifu na watatu hawa ni umoja Andiko la pili lisisitizalo hawa ni umoja Yohana 10:30 mimi na baba tu umoja Andiko lingine lisibitishalo yesu na mungu hawatengani Yohana 14:8-10 filipo amuambia YESU bwana tuonyeshe baba yatutosha YESU akamuambia mimi nimekuwa pamoja nanyi siku zote wewe usinijue,? Alie niona mimi amemuona Baba basi wewe wasemaje tuonyeshe Baba ? Husadiki yakwamba mi ni ndani ya baba na baba yu ndani yangu ? Haya maneno niwaambiayo mimi sisemi kwa shauri langu: Lakini Baba akaae ndani yangu huzifanya kazi zake.   Andiko la tatu lisibitishalo hawa hawatengeni Mwanzo1:26 Mungu asema natumfanye mtu kwa mfano wetu. Kwa maandiko hayo nazani nitakuwa nimeeleweka #ILANI Usikashifu wala kutukana imani ya watu wengine kama ujui chochote kuhusu imani yao kwani hupambani na waaminio imani hio bali mnapambana na Alie Juu alie Waita ktk Imani hiyo MUNGU Wa Kweli na Wapekee YEHOVA. Asanteni kwa maoni na maswali ni hapa,0766549742 na 0629051841.-Mt:Mabula
0689167646-Shukuru(Mhariri).
Ahsante Na Mungu Akubariki.