![]() |
| Advertisement |
JE,UNAVYOSIKIA,UNAILELWA KUWA INJILI NI NINI?
Matthew 3:1-2Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji AKIHUBIRI katika nyika ya Uyahudi, na kusema,
Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
Ukisoma Mark 1:14 baada ya Yohana Yesu aliianza Injili nakusema hvohvo
Baada ya Yesu kupaa Mitume nae habar ni ileile Acts 2:38
Petro Awambia watu Tubuni Ufalme Wa Mungu Utawale kwenu.
..
INJILI Sio Kusema maneno yanayo wafurahisha watu,
INJILI sio Kutoa Misaada,
INJILI sio kumshawish mtu aend kanisani tu,
Injili sio Kumtabiria mtu utajiri.
Tena INJILI sio Kuponya watu tu na hata kama unabariki watu kwa Jina la Yesu,bado c injili.
kabla sijasema ni kwanini na kueleza injili zilizo tofauti kwanza napenda ujue Injili ni nini:
Petro Awambia watu Tubuni Ufalme Wa Mungu Utawale kwenu.
..
INJILI Sio Kusema maneno yanayo wafurahisha watu,
INJILI sio Kutoa Misaada,
INJILI sio kumshawish mtu aend kanisani tu,
Injili sio Kumtabiria mtu utajiri.
Tena INJILI sio Kuponya watu tu na hata kama unabariki watu kwa Jina la Yesu,bado c injili.
kabla sijasema ni kwanini na kueleza injili zilizo tofauti kwanza napenda ujue Injili ni nini:
Injili sio kitu chochot kile ila INJILI NI HABARI NJEMA ZA UFALME WA MUNGU TU, (Ninapo sema Ufalme wa Mungu maana yake utawala wa Mungu,Serikali ya Mungu Mamlaka ya Mungu,Mtu anapo kuhubiria Injili maana yake anataka hayo Yakutawale Sio Baraka tu wala msaada wa mtu yeyote wala upako wake,hapana Ni Ufalme wa Mungu tu.
Maana hayo mahitaji yote c kitu ikiwa hujaruhusu Utawala wa Mungu kwako#Matthew 6:31-33
Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini,
Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote.
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa)
Maana hayo mahitaji yote c kitu ikiwa hujaruhusu Utawala wa Mungu kwako#Matthew 6:31-33
Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini,
Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote.
Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa)
KUSUDI LA INJILI:
WATU WATUBU NA KUBAATIZWA KTK KTK KRISTO WAWE KUNDI LA KRISTO
WAPATANE NA MUNGU.
HIYO NDIO INJILI, WATU WAPATE KUPOKEA MAISHA SAFI MAPYA NA SALAMA YALIYO KTK UFALME WA MUNGU.
WAPATANE NA MUNGU.
HIYO NDIO INJILI, WATU WAPATE KUPOKEA MAISHA SAFI MAPYA NA SALAMA YALIYO KTK UFALME WA MUNGU.
INJILI YA KRISTO NI NEEMA YA MUNGU ILETAYO WOKOVU KWAKO KUPITIA KRISTO"YESU".(Warumi 1:16)
(Yani Msama wa dhambi,baraka na Uzima wa milele Vimo ktk Yesu,Na Ufalme wa Mungu Umefunuliwa ktk Yesu Kristo,kwahyo Injili ni lazma iwe inamlenga Yesu 100% na si ifuate mambo kama hayo nliotaj hapo awali kwamba kutimiza mahitaji ya watu kwa kutumia upako au uwezo ulionao,maana vitu bila Yesu hamna kitu,ni bure)
(Yani Msama wa dhambi,baraka na Uzima wa milele Vimo ktk Yesu,Na Ufalme wa Mungu Umefunuliwa ktk Yesu Kristo,kwahyo Injili ni lazma iwe inamlenga Yesu 100% na si ifuate mambo kama hayo nliotaj hapo awali kwamba kutimiza mahitaji ya watu kwa kutumia upako au uwezo ulionao,maana vitu bila Yesu hamna kitu,ni bure)
Natumai Umeelewa Injili ni nini.
Lakini sasa angalia Watu Wanaihubir injili kwa jinsi nyngne ya Ajabu kbsa dunia ya leo na ni kinyume na KUSUDI LA MUNGU,aidha Kwa kufuata tamaa zao za MALI au Kibinadam au kwa KUPOTEA kwao kulingana na Mapokeo yao kinyume na INJILI YA KRISTO.Na wana Sheria za Ajabu.
Ila Neno La Mungu Lina Tukumbusha na Kutufundsha kua kwa msisitizo Uliousikia ktk Injili tangu Yohana,Yesu Na Mitume Pia Manabii walitabiri Hyohyo habari Njema iletayo wokovu(Kristo),
(Soma Yoshua 1:7-8).
Bac Chunga Usje kupotezwa na Injili za Ki Ongo Fuata Meno La Mungu,Ni Silaha hiyo na ni habari njema Maana Ukiiacha Habari Njema Ulioisikia mwanzo Umepotea na kwa Anaepotosha pia itakupasa Hukumu.(Galatians 1:9)
Bac Chunga Usje kupotezwa na Injili za Ki Ongo Fuata Meno La Mungu,Ni Silaha hiyo na ni habari njema Maana Ukiiacha Habari Njema Ulioisikia mwanzo Umepotea na kwa Anaepotosha pia itakupasa Hukumu.(Galatians 1:9)
Usje uka skia mtu anasema njoo hapa Utapona au nenda pale ati Yesu Yupo alafu anasema anahubir ndio injili hyo! mara anasema Njoo Yesu yuko hapa?.Hapana,huyo ni mwongo!
labda hyo ni injili yake na sio ile iletayo WOKOVU,kwa hyo anapotosha.
labda hyo ni injili yake na sio ile iletayo WOKOVU,kwa hyo anapotosha.
itamfaa nini mtu kuombewa Apone ugonjwa au atajirike au apone alafu afe ktk dhambi(hajaacha dhambi wala kubatizwa,hajaruhusu mungu amtawale hana Neema) zitakua habari njema kwake kweli!! au ni habari njema kwakua ametajirika tu na kuepuka umaskini ila Sio kupata Wokovu maana Ufalme wa Mungu haupo ktk vitu,Na Sijaona mtu ukiwa tajiri siotu sijaona uende mbinguni bali hata uhakika wa kua na Amani sijaona kwa mtu tajiri tu.
Hivyo Kupokea Muujiza Sio Kupokea Ufalme Wa Mungu.
Hivyo Kupokea Muujiza Sio Kupokea Ufalme Wa Mungu.
Kwa Ushuhuda, Muulize Yuda alie kula mikate akaona na Miujiza!,tena mimi naona muujiza mkubwa ni kwa yuda,yeye licha ya kuona mambo mengi Yesu aliyotenda alimskia Yesu akisema Kuna mtu kati yenu atanisaliti(na niyeye)alafu Yuda anaskia na Anajijua ana wazo baya ila hataki kugeuka.
kama injili ingekua ni Muujiza na ishara Yuda angepona.Maana Mikate alikula=(Muujiza huo),
Na Kubaatizwa alibaatizwa ni ishara na alifuatisha nyingi tu.Lakini Kumbe Moyoni Mwake Sivyo Alivyo ipokea INJILI YA KRISTO,Maana Kumtii Yesu ni Kupata vyote.
kama injili ingekua ni Muujiza na ishara Yuda angepona.Maana Mikate alikula=(Muujiza huo),
Na Kubaatizwa alibaatizwa ni ishara na alifuatisha nyingi tu.Lakini Kumbe Moyoni Mwake Sivyo Alivyo ipokea INJILI YA KRISTO,Maana Kumtii Yesu ni Kupata vyote.
Mpendwa Ufalme wa Mungu bhana pale ambapo wewe unaiskia Injili unampokea kwa njia ya Imani na kumkiri kwa kinywa Chako,Unakua Mpya ndani ya Yesu Unapobaatizwa ktk yeye naye Anakaa kwako daima,na baraka tele zikikufuata.
Mungu Wa Mbinguni Atusaidie Sana, maana ikiwaMungu upo ktk kumpokea Yesu,Yesu anabisha kwa njia ya Injili(kuhubir injil ni kubisha hodi kwa mtu afungue Moyo wake Yesu aingie)sasa Ikipotoshwa inaachwa kazi ya kristo inafanywa kazi ya watu wengne na si kuhubir injili sahihi?!
Kila Anae Hubiri Injili ni lazima alenge Yesu na Wokovu wake ikiwa anadai ni Injili ya Kristo.
Kila Anae Hubiri Injili ni lazima alenge Yesu na Wokovu wake ikiwa anadai ni Injili ya Kristo.
Nimalizie;
Mark 16:15-16(Yesu asema)
Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Mark 16:15-16(Yesu asema)
Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Matthew 28:18-20(tena)
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.Amina
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.Amina
Mungu Wa Mbinguni Awalinde na kutubariki Sana.
..Unaweza kushare mpendwa Injili ni ya wote..
..Unaweza kushare mpendwa Injili ni ya wote..




0 comments:
Unaweza kunipata kwa nambari 0689167646